Namna ambavyo Shirika la Afya Duniani (WHO) limekabiliana na janga la COVID-19

2
795

Shirika la Afya Duniani lilitahadharisha kwa muda mrefu juu ya uwezekano wa milipuko ya magonjwa na majanga ya kutishia afya za watu ulimwenguni kote, na kwa nchi zote kuwa tayari kujianda na maandalizi yote. Na kutokana na ukamataji wa tarehe 31 Desemba 2019 taarifa ya awali ya visa kadhaa vya ugonjwa wa homa za mapafu huko Wuhan, Uchina, hadi sasa, Shirika la Afya Duniani limekuwa linkabiliana kwa kasi, kushirikiana na kwa mshikamano na katika kuunga mkono serikali kote ulimwenguni, ili kusaidia nchi zote, jamii na watu kupigana na janga linalojulikana kama COVID-19. Kwa taarifa Zaidi: http://www.who.int/COVID-19

2 COMMENTS

Leave a Reply to HeyItsMe Cancel reply

Please enter your comment!
Please enter your name here